Yoshua 21:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Watu wa ukoo wa Gersoni wakapewa kwa kura miji kumi na mitatu katika maeneo ya makabila ya Isakari, Aseri, Nafutali na katika eneo la nusu ya kabila la Manase kule Basani. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |