Yoshua 21:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200227 Watu wa uzao wa Lawi wa ukoo wa Gersoni, walipewa miji miwili katika nusu ya eneo la kabila la Manase: Golani, kule Basani, muji wa kukimbilia usalama, pamoja na mbuga zake za malisho, na Be-Estera pamoja na malisho yake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |