Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 21:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Watu wa uzao wa Lawi wa ukoo wa Gersoni, walipewa miji miwili katika nusu ya eneo la kabila la Manase: Golani, kule Basani, muji wa kukimbilia usalama, pamoja na mbuga zake za malisho, na Be-Estera pamoja na malisho yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 21:27
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ukoo wa Gersoni, kulingana na jamaa zake ulipewa miji kumi na mitatu katika kabila la Isakari, na katika kabila la Nafutali na katika kabila la Manase katika Basani.


Alifanya hivyo kisha Yawe kumushinda mufalme Sihoni wa Waamori ambaye alikuwa anakaa katika muji wa Hesiboni, na mufalme Ogi wa Basani ambaye alikuwa anakaa katika muji wa Astaroti na Edirei.


Alitenga muji wa Beseri katika bonde la jangwa kwa ajili ya kabila la Rubeni, muji wa Ramoti katika inchi ya Gileadi kwa ajili ya kabila la Gadi, na muji wa Golani katika inchi ya Basani kwa ajili ya kabila la Manase.


Na ngambo ya muto Yordani, upande wa mashariki wa muji wa Yeriko, walichagua muji wa Bezeri unaokuwa kwenye jangwa katika mabonde ya eneo la kabila la Rubeni. Vilevile wakachagua Ramoti, kule Gileadi ambao ni muji wa kabila la Gadi na Golani kule Basani katika eneo la kabila la Manase.


Basi, miji ambayo walipewa watu wa ukoo wa Kohati iliyobaki ilikuwa kumi pamoja na mbuga zao za malisho.


Katika eneo la kabila la Isakari, walipewa Kisioni pamoja na mbuga zake za malisho, Daberati pamoja na mbuga zake za malisho,


Watu wa ukoo wa Gersoni wakapewa kwa kura miji kumi na mitatu katika maeneo ya makabila ya Isakari, Aseri, Nafutali na katika eneo la nusu ya kabila la Manase kule Basani.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ