Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 21:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Anatoti pamoja na mbuga zake za malisho, Almoni pamoja na mbuga zake za malisho. Jumla ya miji waliyopewa ni mine.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 21:18
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Abiezeri wa muji Anatoti; Mebunayi wa muji Husa:


Mufalme Solomono akamwambia kuhani Abiatari: “Ondoka uende katika shamba lako, kule Anatoti. Unastahili kufa wewe. Lakini sasa, sitakuua kwa sababu ulilishugulikia Sanduku la Agano la Yawe ulipokuwa na baba yangu Daudi, ukateswa pamoja naye.”


Hukoki pamoja na mashamba yake ya malisho, na Rehobu na malisho yake.


Enyi watu wa Galimu, mupige kelele! Enyi watu wa Laisi, mutege sikio! Enyi wenyeji wa Anatoti, mujibu!


Maneno ya Yeremia mwana wa Hilkia, mumoja wa makuhani wa muji Anatoti, katika inchi ya kabila la Benjamina.


Katika eneo la kabila la Benjamina walipewa miji mingine: Gibeoni pamoja na mbuga zake za malisho,


Miji yote ya wazao wa Haruni ambao walikuwa makuhani, ilikuwa kumi na mitatu pamoja na mbuga zao za malisho.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ