15 Holoni pamoja na mbuga zake za malisho, Debiri pamoja na mbuga zake za malisho.
Ramoti pamoja na mashamba yake ya malisho na Anemu pamoja na malisho yake.
Kisha, Yoshua na Waisraeli wote wakarudi Debiri, wakaushambulia muji ule.
mufalme wa Debiri, mufalme wa Gederi,
wakawaambia: “Yawe alimwagiza Musa kwamba tupewe miji ya kuishi na mbuga za malisho ya nyama wetu.”