Yoshua 21:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Walipokuwa kule Shilo katika inchi ya Kanana viongozi wa ukoo za Walawi wakawaendea kuhani Eleazari na Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa jamaa za makabila yote ya Waisraeli, အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Wabinti hao wakamwendea kuhani Eleazari na Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wengine wakawaambia: “Yawe alimwamuru Musa atugawanyie na sisi wote inchi kama vile wanaume wa kabila letu wanavyogawanyiwa.” Basi kufuatana na amri ya Yawe, Yoshua akawapatia sehemu yao kama alivyowapa wanaume wa kabila lao.