Yoshua 20:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Hii ndiyo miji iliyotengwa kwa ajili ya watu wote wa Israeli na wageni walioishi kati yao, kusudi mutu yeyote atakayemwua mwenzake bila kukusudia akimbilie kule asipate kuuawa na mwenye ruhusa ya kulipiza kisasi cha damu, mpaka pale atakapohukumiwa mbele ya mukutano wa watu wote. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |