Yoshua 20:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Na ngambo ya muto Yordani, upande wa mashariki wa muji wa Yeriko, walichagua muji wa Bezeri unaokuwa kwenye jangwa katika mabonde ya eneo la kabila la Rubeni. Vilevile wakachagua Ramoti, kule Gileadi ambao ni muji wa kabila la Gadi na Golani kule Basani katika eneo la kabila la Manase. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |