Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 20:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Mwuaji ataendelea kuishi mule mpaka pale atakapohukumiwa mbele ya mukutano wote wa Waisraeli na vilevile mpaka pale yule Kuhani Mukubwa ambaye alikuwa na madaraka wakati ule atakapokufa. Nyuma ya pale mutu huyo ataweza kurudi katika nyumba yake katika muji ule pahali alipotoka wakati alipotoroka.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 20:6
3 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Miji hiyo itakuwa pahali pa kukimbilia usalama kusudi huyo mwuaji asiuawe na mwenye kulipiza kisasi mbele ya kuhukumiwa na baraza la Waisraeli.


Ingekuwa hivi, ingemupasa ateswe mara nyingi tangu kuumbwa kwa dunia. Lakini sasa, wakati ukikaribia kwa mwisho, yeye alitokea mara moja tu kusudi awasamehe watu zambi kwa njia ya kujitoa mwenyewe sadaka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ