Yoshua 20:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Kama yule mutu mwenye kuwa na ruhusa ya kulipiza kisasi akimufuatilia mpaka katika muji ule, wazee wa muji ule hawaruhusiwi kumutoa mwuaji yule kwa yule mwenye kutaka kulipiza kisasi maana alimwua mwenzake kwa bahati mbaya tu kwa vile hakukukuwa uadui kati yao zamani. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |