Basi, wale watu waliotumwa na mufalme wakawafuatilia kwa kupitia njia iliyokuwa imeelekea kwenye vivuko vya Yordani. Na mara tu walipoondoka katika muji, mulango wa muji ukafungwa.
Nyumba hiyo ilikuwa imejaa watu: wakubwa wote wa Wafilistini walikuwa mule na kwenye paa kulikuwa watu elfu tatu wanaume na wanawake, wakimutazama Samusoni akiwachekesha.