Yoshua 2:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Basi, wale watu waliotumwa na mufalme wakawafuatilia kwa kupitia njia iliyokuwa imeelekea kwenye vivuko vya Yordani. Na mara tu walipoondoka katika muji, mulango wa muji ukafungwa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |