Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 2:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Lakini, yule mwanamuke alikuwa amekwisha kuwaficha watu hao wawili. Basi, akawaambia wajumbe hao: “Ni kweli kwamba hao watu walikuja kwangu, lakini mimi sikujua wametoka wapi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 2:4
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu Elisha akawaendea na kuwaambia: “Mumepotea njia. Huu siyo muji ambao munautafuta. Munifuate nami nitawapeleka kwa yule munayemutafuta.” Naye akawaongoza mpaka Samaria.


Wao wakamujibu mufalme wa Misri: “Wanawake wa Waebrania si sawa na wanawake Wamisri. Wao ni hodari; mbele muzalishaji hajafika, wao wanakuwa wamekwisha kuzaa.”


Ilikuwa hivi vilevile kwa yule kahaba Rahaba. Mungu alimuhesabia haki kwa njia ya matendo yake, wakati alipowakaribisha wapelelezi na kuwatorosha kwa njia nyingine.


Mufalme wa Yeriko akatuma watu kwa Rahabu, akisema: “Uwatoshe inje watu waliokuja katika nyumba yako maana wamekuja kuipeleleza inchi yote.”


Wakati wa kufunga mulango wa muji giza lilipoingia, hao watu waliondoka. Kule walikokwenda mimi sijui; muwafuate upesi nanyi mutawapata.”


Muji ule utaangamizwa na kila kitu kinachokuwa mule maana umetolewa kwa Yawe. Rahabu, yule kahaba, ndiye atakayeachwa pamoja na wale ambao wako ndani ya nyumba yake kwa sababu aliwaficha wapelelezi wetu.


Lakini yule kahaba Rahabu pamoja na watu wote wa nyumba ya baba yake, Yoshua akayaokoa maisha yao. Rahabu akaishi kati ya Waisraeli mpaka leo, kwa sababu aliwaficha wajumbe ambao Yoshua aliwatuma kwenda kuupeleleza muji wa Yeriko.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ