Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 2:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Wale watu wakamujibu: “Uzima wenu ni uzima wetu! Kama hamutaifichua siri yetu, Yawe atakapotupa inchi hii, tutakutendea kwa wema na uaminifu.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 2:14
18 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Sasa, basi, muniambie kama muko tayari kumutendea bwana wangu kwa wema na uaminifu. Kama sivyo, basi museme, nami nitajua cha kufanya.”


Wakati wa kufa kwake ulipokaribia, Yakobo akamwita mwana wake Yosefu, akamwambia: “Sasa, kama nimepata kukubaliwa mbele yako, weka mukono wako chini ya mapaja yangu, uniahidi kwamba utanitendea kwa wema na uaminifu. Usinizike huku Misri,


aliwatuma watu kule Yabesi-Gileadi na ujumbe: “Yawe awabariki kwa maana mulitendea bwana wenu Saulo mema kwa kumuzika.


Sasa, Yawe awatendee kwa wema na uaminifu. Nami nitawatendea vizuri kutokana na jambo mulilolitenda.


Siku moja, Daudi aliuliza: “Hakuna hata mutu mumoja aliyebakia katika jamaa ya Saulo? Kama yuko, ningependa kumutendea mema kwa ajili ya Yonatani.”


Mufalme alipokuwa anapita, nabii akamulilia akisema: “Bwana, mimi mutumishi wako nilikuwa kwa mustari wa mbele katika vita. Kukakuja askari mumoja, akaniletea mateka mumoja na kuniambia: ‘Umulinde mutu huyu. Akitoroka utalipa kwa maisha yako wewe peke yako, au kwa bei ya vikoroti elfu tatu vya feza.’


Anayepanga kutenda maovu kweli anakosa! Wanaopanga kutenda mazuri watapata mema na uaminifu.


Warafiki wengi wanaweza kumwangusha mutu, lakini kuna rafiki mwaminifu kuliko ndugu.


Heri wale wanaokuwa na huruma, maana Mungu atawahurumia!


Yule jemadari akamwagiza yule kijana kwamba asimwambie mutu yeyote kwamba amemupasha habari hiyo, kisha akaagana naye.


Muahidi kwamba mutamwacha baba yangu na mama yangu, kaka zangu na dada zangu, na jamaa yao yote; hamutakubali tuuawe!”


Basi, Rahabu akawashusha hao watu kwa kamba kupitia katika dirisha: nyumba yake ilikuwa imejengwa ikiambatana na ukuta wa muji wa Yeriko.


Muji ule utaangamizwa na kila kitu kinachokuwa mule maana umetolewa kwa Yawe. Rahabu, yule kahaba, ndiye atakayeachwa pamoja na wale ambao wako ndani ya nyumba yake kwa sababu aliwaficha wapelelezi wetu.


Yoshua akawaambia wale wapelelezi wawili walioipeleleza inchi hiyo: “Muende katika nyumba ya yule kahaba; mumulete yule mwanamuke na wale wote ambao ni wandugu zake kama mulivyomwapia.”


Lakini yule kahaba Rahabu pamoja na watu wote wa nyumba ya baba yake, Yoshua akayaokoa maisha yao. Rahabu akaishi kati ya Waisraeli mpaka leo, kwa sababu aliwaficha wajumbe ambao Yoshua aliwatuma kwenda kuupeleleza muji wa Yeriko.


Hivyo unitendee mema maana umefanya agano nami, mimi mutumishi wako, mbele ya Yawe. Lakini, kama nimefanya kosa basi, uniue wewe mwenyewe. Kwa nini unipeleke kwa baba yako kusudi aniue?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ