Yoshua 19:51 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200251 Basi, kuhani Eleazari na Yoshua mwana wa Nuni, pamoja na viongozi wa makabila ya Waisraeli waligawanya sehemu hizo kwa kura mbele ya Yawe kwenye mulango wa hema ya kusanyiko kule Shilo. Basi, wakakamilisha kuigawanya inchi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |