Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 19:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

41-46 Eneo la inchi yao lilikuwa na miji ya: Zora, Estaoli, Iri-Semesi, Salabinu, Ayaloni, Itila, Eloni, Timuna, Ekuroni, Elteke, Gibetoni, Balati, Yehudi, Bene-Beraki, Gati-Rimoni, Me-Yarkoni na Rakoni na inchi iliyokuwa karibu na Yopa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 19:41
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

pamoja na ukoo hizi zilizoishi Kiriati-Yearimu: Waitiri, Waputi, Wasumati na Wamisira. (Wazorati na Waestaoli walitoka katika watu wale).


Zora, Ayaloni na Hebroni. Miji hiyo yenye kuzungukwa kuta iko Yuda na Benjamina.


Kura ya saba ilizipata ukoo za kabila la Dani.


Kulikuwa mutu mumoja kule Zora, wa kabila la Dani, jina lake Manoa. Muke wake alikuwa tasa.


Roho wa Yawe akaanza kumusukuma akiwa kule Mahane-Dani, kati ya muji wa Zora na wa Estaoli.


Wandugu zake na jamaa yake yote wakakuja kubeba maiti yake. Wakamuzika katikati ya muji wa Zora na muji wa Estaoli katika kaburi la Manoa, baba yake. Samusoni alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka makumi mbili.


Kwa hiyo watu wa kabila la Dani wakachagua kati yao watu hodari, wakawatuma kutoka kule Estaoli na Zora, wakawaamuru waende kuipeleleza inchi. Basi watu hao wakafika katika inchi ya milima ya Efuraimu katika nyumba ya Mika, wakaenda na kukaa mule.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ