39 Hiyo ndiyo sehemu zilizopewa ukoo za kabila la Nafutali; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.
Hapo mufalme Beni-Hadadi akakubaliana na mufalme Asa, akawatuma majemadari wake na waaskari wake kwenda kuishambulia miji ya Israeli. Nao wakateka miji Iyoni, Dani, Abeli-Beti-Maka, Kineroti yote, na inchi yote ya Nafutali.
Kabila la Nafutali, litapata eneo linalopakana na lile la Aseri, kutoka mashariki mpaka magaribi.
Kura ya saba ilizipata ukoo za kabila la Dani.