Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 19:33 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

33 Mupaka wake ulianzia Helefi na kwenye muti wa mwalo wa Zananimu, ukapita Adami-Nekebu na Yabuneli ukafika Lakumu na kuishia kwenye muto Yordani.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 19:33
3 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kura ya sita ilizipata ukoo za kabila la Nafutali.


Kutoka pale mupaka ulikwenda upande wa magaribi kuelekea Asinoti-Tabori; tokea kule ukaenda Hukoki na kugusana na pembe ya kusini ya eneo la kabila la Zebuluni; kisha kugusana na eneo la kabila la Aseri upande wa magaribi, na kugusana na eneo la kabila la Yuda. Kwa upande wa mashariki mupaka uliingilia kwenye muto Yordani.


Wakati ule, Mukeni mumoja aliyeitwa Heberi alikuwa amejitenga na Wakeni wenzake ambao ni wazao wa Hobabu, baba mukwe wa Musa. Alikuwa amepiga hema lake mbali kule kwenye muti wa mwalo wa Sananimu, karibu na Kedesi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ