Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 19:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Kisha ukageuka kuelekea mashariki kwenda Beti-Dagoni ambako unagusana na Zebuluni na bonde la Ifitaheli. Halafu ukaendelea kaskazini ukafika Beti-Emeki, Neieli na kuzidi kuelekea kaskazini ukafika Kabuli,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 19:27
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, akamwuliza Solomono: “Ndugu yangu, ni miji gani hii ambayo umenipa?” Ndiyo sababu miji hiyo inaitwa “Inchi ya Kabure” hata leo.


Upande wa kaskazini mupaka uligeuka kuelekea Hanatoni na kuishia kwenye bonde la Ifitaheli.


Alameleki, Amadi na Misali. Kwa upande wa magaribi mupaka uligusana na Karmeli na Sihori-Libunati.


Kisha, wakalipeleka Sanduku la Mungu kwenye hekalu la mungu wao Dagoni na kuliweka karibu naye.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ