Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 19:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Eneo la inchi yao lilikuwa na miji ya: Helkati, Hali, Beteni, Akisafu,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 19:25
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kila mumoja alimukamata adui yake kwenye kichwa, na kumuchoma upanga katika ubavu. Hivyo wote wawili wakaanguka chini, wamekufa. Kwa hiyo, pahali pale pakaitwa Shamba la Mapanga. Pahali pale pako kule Gibeoni.


Mufalme Yabini wa muji wa Hazori alipopata habari hizo, alipeleka ujumbe kwa mufalme Yobabu wa Madoni, kwa mufalme wa Simuroni na mufalme wa Akisafu,


mufalme wa Simuroni-Meroni, mufalme wa Akisafu,


Kura ya tano ilizipata ukoo za kabila la Aseri.


Alameleki, Amadi na Misali. Kwa upande wa magaribi mupaka uligusana na Karmeli na Sihori-Libunati.


Helkati pamoja na mbuga zake za malisho na Rehobu pamoja na mbuga zake za malisho. Jumla ya miji waliyopewa ni mine.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ