Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 19:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Ukakusanya miji ya Katati, Nahalali, Simuroni, Idala na Betelehemu. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 19:15
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Daudi akasema kwa hamu kubwa: “Ni nani atakayeweza kunipa maji ya kunywa kutoka katika kisima cha Betelehemu, kinachokuwa karibu na mulango wa muji!”


Mufalme Yabini wa muji wa Hazori alipopata habari hizo, alipeleka ujumbe kwa mufalme Yobabu wa Madoni, kwa mufalme wa Simuroni na mufalme wa Akisafu,


mufalme wa Simuroni-Meroni, mufalme wa Akisafu,


Upande wa kaskazini mupaka uligeuka kuelekea Hanatoni na kuishia kwenye bonde la Ifitaheli.


Hiyo ndiyo sehemu zilizopewa ukoo za kabila la Zebuluni miji hiyo pamoja na vijiji vyake.


Watu wa kabila la Zebuluni hawakuwafukuza wakaaji wa muji wa Kitironi, wala wale wa muji wa Nahalali, waliendelea kukaa pamoja nao wakiwatumikisha kazi za kulazimishwa.


Nyuma ya Yefuta, Ibusani wa muji wa Betelehemu akakuwa mwamuzi wa Israeli.


Wakati ule kulikuwa kijana mumoja Mulawi katika muji wa Betelehemu katika inchi ya Yuda.


Halafu wote wawili wakaendelea na safari mpaka Betelehemu. Walipofika kule, watu wote wakashangaa, hata wanawake wakaulizana: “Huyu ni Naomi?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ