Yoshua 18:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Lakini Walawi hawatapata sehemu yoyote kati yenu, maana sehemu yao ni kuwa makuhani wa kumutumikia Yawe. Gadi, Rubeni na nusu ya kabila la Manase walikwisha kupata sehemu yao upande wa mashariki wa muto Yordani. Walipewa sehemu hii na Musa, mutumishi wa Yawe.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |