5 Nao wataigawanya inchi hiyo kwa sehemu saba. Kabila la Yuda litabaki na sehemu yake ya kusini na kabila la Yosefu kaskazini.
Muchague watu watatu kutoka kila kabila niwatume katika inchi yote wachunguze na kuchapa taswira kulingana na makabila yao, kisha waniletee habari.