Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 18:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Kura ya kwanza ililipata kabila la Benjamina kulingana na ukoo zake. Eneo walilopewa watu hao lilikuwa katikati ya lile la kabila la Yuda na lile la kabila la Yosefu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 18:11
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wana wa Rakeli walikuwa Yosefu na Benjamina.


Kule, Abeneri akamusimika Isiboseti kuwa mufalme wa inchi ya Gileadi, Asheri, Yezereheli, Efuraimu na Benjamina na Israeli yote.


Makabila yaliyobaki yatagawanyiwa maeneo yao hivi: Kabila la Benjamina litapewa eneo kutoka mashariki mpaka magaribi.


Hivyo, Waisraeli wote watasikia na kuogopa, na hawatafanya uovu kama huo hata kidogo.


Kule Shilo, Yoshua akazipigia kura sehemu hizo mbele ya Yawe, akawagawanyia Waisraeli; kila kabila na sehemu yake.


Mupaka wake wa kaskazini ulianzia kwenye muto Yordani na kupitia upande wa kaskazini wa Yeriko na inchi ya milima ukaelekea upande wa magaribi mpaka kwenye jangwa la Beti-Aweni.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ