Yoshua 17:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Mupaka huo uliendelea mpaka kwenye kijito cha Kana. Miji iliyokuwa upande wa kusini ya Kana ilikuwa ya Waefuraimu hata ingawa ilikuwa katika inchi ya kabila la Manase. Halafu mupaka ukapita upande wa kaskazini ya kijito Kana na kuishia katika bahari ya Mediteranea. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |