Yoshua 17:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Eneo la kabila la Manase lilianzia Aseri na kwenda hata Mikimetati upande wa mashariki ya Sekemu; halafu mupaka wao ukaendelea upande wa kusini mpaka kwenye inchi ya wakaaji wa Eni-Tapua. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |