Yoshua 17:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Eneo la kusini lilikuwa la kabila la Efuraimu na eneo la kaskazini lilikuwa la kabila la Manase, mupaka wake ukiwa bahari ya Mediteranea kwa upande wa magaribi. Kabila la Aseri lilikuwa upande wa kaskazini-magaribi wa eneo la Manase na la kaskazini-mashariki lilikuwa kabila la Isakari. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |