Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 16:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Watu wa kabila la Efuraimu kulingana na jamaa zao walipata sehemu yao ambayo mupaka wake upande wa mashariki ulipita Ataroti-Adari hata Beti-Horoni ya Juu,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 16:5
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kule, Abeneri akamusimika Isiboseti kuwa mufalme wa inchi ya Gileadi, Asheri, Yezereheli, Efuraimu na Benjamina na Israeli yote.


Efuraimu alikuwa na binti jina lake Sera. Huyu ndiye aliyejenga miji ya Beti- Horoni ya juu na ya chini, na Uzeni-Sera.


Inchi zao na makao yao yalikuwa: Beteli na vijiji vyake, muji wa Narani uliokuwa upande wa mashariki, muji wa Gezeri uliokuwa upande wa magaribi pamoja na vijiji vyake, Sekemu na vijiji vyake, na Aya na vijiji vyake.


Eneo linalopakana na eneo la Manase kutoka upande wa mashariki mpaka magaribi litakuwa la kabila la Efuraimu.


Naye Yawe akawatia hofu kubwa mbele ya Waisraeli ambao waliwaua watu wengi kule Gibeoni wakiwakimbia kwenye njia ya muteremuko wa Beti-Horoni mpaka Azeka na Makeda ambako vilevile waliwaua watu wengi sana.


Kutoka Beteli, mupaka ulielekea Luzi ukapita Ataroti ambako Waarki waliishi.


Kutoka kule, mupaka wake ulikwenda kusini kuelekea Luzi kupitia upande wa kusini wa Luzi, ni kusema Beteli, hata Ataroti-Adari, kwenye mulima unaokuwa upande wa kusini wa Beti-Horoni ya Chini.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ