Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 16:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Waefuraimu hawakuwafukuza Wakanana walioishi Gezeri. Wakanana hao waliendelea kukaa kati ya watu wa Efuraimu mpaka leo, wakiwa watumwa wa kuwafanyia kazi za kulazimishwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 16:10
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Haya ni maelezo juu ya mufalme Solomono, jinsi alivyowatumikisha watu kazi za kulazimishwa katika kujenga nyumba ya Yawe, nyumba yake ya kifalme, uwanja wa Milo, na ukuta wa Yerusalema, na vilevile katika kujenga upya miji ya Hazori, Megido na Gezeri.


Gezeri ndio muji ambao mufalme wa Misri alikuwa ameuteka, akauchoma kwa moto na kuwaua Wakanana, wakaaji wake. Nyuma, binti wa mufalme wa Misri alipoolewa na Solomono, mufalme wa Misri alimupa binti yake muji ule wa Gezeri ukuwe zawadi ya arusi.


pamoja na wazao wao ambao Waisraeli hawakuweza kuwaangamiza kabisa, Solomono aliwatumikisha kazi za kulazimishwa hata leo.


vilevile kati ya wazao wao ambao Waisraeli hawakuwaangamiza, Solomono akawatumikisha kazi za kulazimishwa, na hivi ndivyo wanavyofanya hata sasa.


Hapo, mufalme Horamu wa Gerezi akaamua kuja kuwasaidia watu wa Lakisi. Lakini Yoshua akamwua pamoja na watu wake wote, hakuacha hata mutu mumoja.


Lakini watu wa Yuda hawakuweza kuwafukuza Wayebusi, ambao ndio waliokuwa wenyeji wa Yerusalema, na mpaka leo Wayebusi wangali wanaishi katika muji ule pamoja na watu wa Yuda.


pamoja na miji na vijiji ambavyo waliongezewa kutoka kwenye inchi ya kabila la Manase.


Lakini wazao wa Manase hawakuweza kuwafukuza wakaaji wa miji hiyo. Wakanana wakaendelea kuishi humo,


ingawa hata nyuma ya Waisraeli kuwa na nguvu zaidi, hawakuweza kuwafukuza, lakini tu waliwafanyisha kazi za kulazimishwa.


Watu wa kabila la Efuraimu hawakuwafukuza Wakanana walioishi kule Gezeri, na hawa waliishi kule pamoja na watu wa Efuraimu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ