Yoshua 16:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Sehemu wazao wa Yosefu waliyogawanyiwa kwa kura ilianzia karibu na muto Yordani, upande wa mashariki wa chemichemi ya Yeriko, na kupitia katika jangwa, hata kwenye sehemu za milima mpaka Beteli. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |