Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 16:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Sehemu wazao wa Yosefu waliyogawanyiwa kwa kura ilianzia karibu na muto Yordani, upande wa mashariki wa chemichemi ya Yeriko, na kupitia katika jangwa, hata kwenye sehemu za milima mpaka Beteli.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 16:1
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wana wa Rakeli walikuwa Yosefu na Benjamina.


Eneo linalopakana na eneo la Manase kutoka upande wa mashariki mpaka magaribi litakuwa la kabila la Efuraimu.


Mupaka wake wa kaskazini ulianzia kwenye muto Yordani na kupitia upande wa kaskazini wa Yeriko na inchi ya milima ukaelekea upande wa magaribi mpaka kwenye jangwa la Beti-Aweni.


Nao wataigawanya inchi hiyo kwa sehemu saba. Kabila la Yuda litabaki na sehemu yake ya kusini na kabila la Yosefu kaskazini.


Kisha Yoshua pamoja na watu wake wakajifanya sawa wenye kushindwa, wakaanza kukimbia kuelekea katika jangwa.


Watu wa makabila ya Yosefu waliushambulia muji wa Beteli, naye Yawe alikuwa pamoja nao.


Kwanza walikuwa wamewatuma wapelelezi kwenda kuupeleleza muji wa Beteli. Muji ule zamani uliitwa Luzi.


Zawadi hizo zilikuwa kwa ajili ya wakaaji wa Beteli, wakaaji wa Ramoti katika Negebu, wakaaji wa Yatiri,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ