Yoshua 15:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Kisha, mupaka huo ulipitia kwenye Bonde la Hinomu, upande wa kusini wa kilima cha Wayebusi, ni kusema Yerusalema, kuelekea kilele cha mulima unaokuwa upande wa magaribi wa bonde la Hinomu na kufika mwisho wa bonde la Refaimu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |