Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 15:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Kalebu akatangaza kwamba atamwoesha binti yake Akisa kwa mwanaume yeyote atakayeuteka muji wa Kiriati-Seferi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 15:16
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kutoka Hebroni alikwenda kuwashambulia wakaaji wa Debiri, muji ambao zamani uliitwa Kiriati-Seferi.


Basi, Otinieli mwana wa Kenazi, ndugu ya Kalebu, akauteka muji huo, naye Kalebu akamupa binti yake.


Adoni-Bezeki akakimbia, lakini walimufuatilia, wakamukamata, wakamukata vidole gumba vya mikono na miguu.


Waliambiana: “Mumemwona yule mutu aliyejitokeza? Yeye amejitokeza kwa kuwazarau Waisraeli. Mufalme Saulo atamupa mutu yeyote atakayemwua mutu yule utajiri mwingi. Zaidi ya yote, atamupatia vilevile binti yake kusudi amwoe. Tena, watu wa jamaa ya baba yake watakuwa huru, hawatalipa kodi.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ