Yoshua 14:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Wazao wa Yosefu walikuwa makabila mawili: Manase na Efuraimu. Kabila la Lawi halikupewa sehemu yoyote ya inchi, lakini miji tu ya kuishi na mashamba ya malisho kwa ajili ya nyama wao na riziki zao. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |