Yoshua 13:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
32 Musa alikuwa amewagawanyia sehemu hizo mbalimbali za inchi iliyokuwa upande wa mashariki wa Yeriko na Yordani, wakati alipokuwa kwenye mabonde ya Moabu.
nusu ya Gileadi, Astaroti, Edirei, ambayo ilikuwa ya mufalme Ogi wa Basani. Nusu ya wazao wa Makiri mwana wa Manase, eneo hili walipewa kulingana na ukoo zao.