Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 13:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 na miji yote ya mabonde, inchi yote ya mufalme Sihoni wa Waamori ambaye alitawala kule Hesiboni; Musa alikuwa amemushinda huyu Sihoni pamoja na viongozi wa Midiani, Evi, Rekemu, Suri, Huri na Reba, ambao walitawala inchi kwa jina la mufalme Sihoni.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 13:21
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Na huyo mwanamuke Mumidiani aliyeuawa aliitwa Kozibi binti ya Suri, aliyekuwa kiongozi wa ukoo fulani huko Midiani.


Kati ya watu hao waliouawa, kulikuwa wafalme watano wa Midiani: Ewi, Rekemu, Suri, Huri na Reba. Vilevile wakamwua Balamu mwana wa Beori.


Tukateka miji yote katika sehemu za mabonde, za mwinuko, na vilevile eneo lote la Gileadi na Basani mpaka Saleka na Edirei, miji ya mufalme Ogi huko Basani.”


Beti-Peori, miteremuko ya mulima Pisiga, Beti-Yesimoti


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ