19 Kiriataimu, Sibuma, Zereti-Sahari, kule kwa kilima katika bonde,
Juu ya inchi ya Moabu, Yawe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Ole kwa watu wa Nebo, maana muji wao umeharibiwa! Kiriataimu umepatishwa haya, umetekwa, ukuta wake umebomolewa;
Kiriataimu, Beti-Gamuli, Beti-Meoni,
mimi nitaifanya miji inayolinda mipaka ya Moabu ishambuliwe, hata miji ile bora kabisa, ni kusema Beti-Yesimoti, Bali-Meoni na Kiriataimu.
Beti-Peori, miteremuko ya mulima Pisiga, Beti-Yesimoti