Yoshua 13:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Musa hakuwapa watu wa kabila la Lawi inchi yoyote. Lakini sadaka za kuteketezwa kwa moto walizomutolea Yawe, Mungu wa Israeli, hizo ndizo zilizokuwa fungu lao, kama vile Yawe alivyomwambia Musa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |