Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 13:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 na ufalme wote wa Ogi mumoja wa Warefaimu waliobaki, ambaye alitawala kule Asitaroti na Edirei katika Basani. Musa alikuwa amewashinda hao wote na kuwafukuzia mbali.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 13:12
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Alifanya hivyo kisha Yawe kumushinda mufalme Sihoni wa Waamori ambaye alikuwa anakaa katika muji wa Hesiboni, na mufalme Ogi wa Basani ambaye alikuwa anakaa katika muji wa Astaroti na Edirei.


Mwingine ni mufalme Ogi mumoja wa Warefaimu waliobaki, ambaye alitawala Basani na alikaa Asitaroti au Edirei.


Hata hivyo, Wagesuri na Wamakati hawakufukuzwa lakini wanaishi kati ya Waisraeli mpaka leo.


nusu ya Gileadi, Astaroti, Edirei, ambayo ilikuwa ya mufalme Ogi wa Basani. Nusu ya wazao wa Makiri mwana wa Manase, eneo hili walipewa kulingana na ukoo zao.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ