Yoshua 12:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Inchi hizo zilikuwa pamoja na maeneo ya milima, inchi ya bonde, eneo la Araba, miteremuko ya milima, maeneo ya jangwa, na eneo la Negebu; inchi zilizokuwa za Wahiti, Waamori, Wakanana, Waperizi, Wahivi na Wayebusi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |