Omuri alianza kutawala katika mwaka wa makumi tatu na mumoja wa utawala wa Asa mufalme wa Yuda. Alitawala kwa muda wa miaka kumi na miwili. Miaka sita alikuwa anatawala akiwa katika muji wa Tirza.
Hivyo, hao wazao wakakuja na kurizi inchi. Ulishinda Wakanana na kuwatia katika mikono yao. Watu wako waliweza kuwatendea vile walivyotaka wafalme na watu wa inchi hiyo.