19 mufalme wa Madoni, mufalme wa Hazori,
Mufalme Yabini wa muji wa Hazori alipopata habari hizo, alipeleka ujumbe kwa mufalme Yobabu wa Madoni, kwa mufalme wa Simuroni na mufalme wa Akisafu,
mufalme wa Afeki, mufalme wa Lasaroni,
mufalme wa Simuroni-Meroni, mufalme wa Akisafu,
Yawe akawatia katika mikono ya mufalme wa Kanana, jina lake Asikie, ambaye aliishi Hazori. Jemadari wa waaskari wake aliitwa Sisera, mukaaji wa Haroseti-Hagoimu.