Yoshua 10:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Kisha wafalme hao watano wa Waamori: mufalme wa Yerusalema, mufalme wa Hebroni, mufalme wa Yarmuti, mufalme wa Lakisi na mufalme wa Eguloni, wakaunganisha waaskari wao, wakaenda nao mpaka Gibeoni. Wakapiga kambi kuuzunguka muji huo, wakaushambulia. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |