Yoshua 10:39 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200239 Waliuteka muji huo na mufalme wake pamoja na miji mingine yote iliyouzunguka na kuwaangamiza wote waliokuwa ndani yao bila kuacha hata mutu mumoja. Waliutendea muji huo kama walivyoutendea muji wa Hebroni na muji wa Libuna na wafalme wao. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |