34 Kisha kutoka Lakisi, Yoshua na Waisraeli wote walikwenda mpaka Eguloni, wakauzunguka muji ule na kuushambulia.
Basi, Mufalme Adoni-Zedeki akapeleka ujumbe kwa mufalme Hohamu wa Hebroni, mufalme Piramu wa Yarmuti, mufalme Yafia wa Lakisi na mufalme Debiri wa Eguloni, akawaambia:
Hapo, mufalme Horamu wa Gerezi akaamua kuja kuwasaidia watu wa Lakisi. Lakini Yoshua akamwua pamoja na watu wake wote, hakuacha hata mutu mumoja.
Wakauteka siku hiyohiyo na kuwaua wakaaji wake wote kama walivyofanya kule Lakisi.
mufalme wa Eguloni, mufalme wa Gezeri,