17 Yoshua akapata habari kwamba wafalme hao wamegunduliwa walikojificha katika pango la Makeda.
Wale wafalme watano wakakimbia na kujificha katika pango la Makeda.
Yoshua akasema: “Muviringishe mawe makubwa kwenye mulango wa pango na kuweka walinzi pale.
Lakini mufalme wa muji wa Ai walimuteka akiwa muzima na kumupeleka kwa Yoshua.