Yoshua 10:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Walipokuwa wakiwakimbia Waisraeli kwenye muteremuko wa Beti-Horoni, Yawe akawanyeshea mvua ya mawe makubwa kutoka mbinguni wakiwa katika njia mpaka Azeka hata waliouawa kwa mawe hayo wakakuwa wengi kuliko waliouawa kwa silaha za Waisraeli. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |