Yoshua 1:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Hakikisha kwamba hautakisahau hata kidogo kitabu hiki cha sheria; lakini kila siku utajifunza kitabu hiki, muchana na usiku, kusudi upate kutimiza yote yaliyoandikwa humu, nawe utastawi na kufanikiwa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |