Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 1:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Wake zenu, watoto wenu na nyama wenu wa kufugwa watabaki katika inchi hiyo ambayo Musa aliwapa, ngambo ya muto Yordani. Lakini wanaume wote hodari wakiwa na silaha watavuka muto na kuwatangulia wandugu zenu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 1:14
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Pahali pake, Mungu akawapitisha Waisraeli katika njia ya muzunguko kupitia katika jangwa, kuelekea bahari Nyekundu. Waisraeli wakaondoka katika inchi ya Misri wakiwa wamejitayarisha kwa vita.


Wake zetu, watoto wetu na kondoo na ngombe, watabaki hapa katika miji ya Gileadi.


Kuna mutu aliyevunjika moyo? Arudie kwake, kusudi asiwavunje wenzake moyo kama vile yeye.’


Lakini wake zenu, watoto wenu na nyama wenu – ninajua muko na mifugo mingi – watabaki kwenye miji niliyowapa.


Alijichagulia eneo zuri kuliko yote, pahali sehemu ya kiongozi ilipotengwa. Aliwaongoza watu na kumutii Yawe, alitimiza mupango wa Mungu kwa Israeli.”


“Mukumbuke lile jambo ambalo Musa, mutumishi wa Yawe, aliwaamuru akisema: ‘Yawe, Mungu wenu, atawapa pahali pa kupumzika, na atawapa inchi hii’.


Mutawasaidia mpaka Yawe atakapowapa wandugu zenu vilevile pahali pa kupumzika, kama vile alivyowapa ninyi, nao vilevile warizi inchi ambayo wanapewa na Yawe, Mungu wenu. Kisha mutarudi katika inchi ambayo ni mali yenu na kuirizi, inchi ambayo mulipewa na Musa, mutumishi wa Yawe, ngambo ya muto Yordani.”


Wanaume wa kabila la Rubeni na la Gadi na nusu ya kabila la Manase waliwatangulia Waisraeli wakiwa na silaha zao, kama vile walivyoagizwa na Musa.


Yule mwanamuke alikuwa amevaa nguo za rangi nyekundunyeusi na nyekundu sana za bei kali, tena alikuwa amejipamba kwa zahabu, mawe ya bei kali na ushanga wa bei kali. Naye alikuwa anashika katika mukono wake kikombe kilichotengenezwa na zahabu chenye kujaa machukizo na mambo machafu ya uasherati wake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ