Yona 3:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Kisha mufalme akawatangazia wakaaji wa Ninawe: Mimi mufalme, pamoja na wakubwa wangu, ninatoa amri hii: Kusikuwe mutu yeyote, ngombe au nyama yeyote wa kufugwa, atakayeonja kitu chochote. Hairuhusiwi kwa mutu yeyote au nyama kula au kunywa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |