Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yona 3:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Basi, Yona akaondoka, akaenda Ninawe kama vile Yawe alivyomwagiza. Muji wa Ninawe ulikuwa mukubwa sana. Upana wake ulikuwa mwendo wa siku tatu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yona 3:3
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, kesho yake, Abrahamu akaamuka asubui mapema, akatandika punda wake, akawatwaa watumishi wake wawili pamoja na Isaka mwana wake. Akatayarisha kuni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa kwa moto, kisha akaanza safari kuelekea pahali alipoambiwa na Mungu.


Halafu Rakeli akasema: “Nimepigana mapigano makubwa na dada yangu, nami nimeshinda.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Nafutali.


Wema wako, ee Yawe, unaenea hata mbinguni; uaminifu wako unafika hata kwenye mawingu.


Uliupalilia upate kukomaa, nao ukatoa mizizi na kuenea katika inchi yote.


Kisha Saniharibu mufalme wa Asuria akaondoka, akaenda kwake, akakaa Ninawe.


Simama, uende Ninawe, ule muji mukubwa, uukaripie. Maana uovu wake umenifikia.


Basi, haifai kwangu kuuhurumia Ninawe, ule muji mukubwa wenye watu elfu mia moja na makumi mbili, wasioweza kutambua linalokuwa jema na baya; na nyama wengi wasiokuwa na hesabu?


Luka peke yake ndiye anayekuwa hapa pamoja nami. Umutwae Marko, ukuje pamoja naye, kwa sababu ananifalia katika kazi yangu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ