1 Neno la Yawe lilimufikia Yona mara ya pili kusema hivi:
Manabii waliotangulia mbele yetu, mimi na wewe, zamani za kale walitabiri kwamba vita, njaa na magonjwa makali vitazipata inchi nyingi na tawala kubwa.
Simba akinguruma, ni nani asiyeogopa? Bwana wetu Yawe akisema, ni nani atakataa kuutangaza ujumbe wake?
Neno la Yawe lilimufikia Yona mwana wa Amitai kusema hivi:
Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani, nitakutolea sadaka, na kutimiza viapo vyangu. Yawe, ndiye anayeokoa.
Simama, uende Ninawe, ule muji mukubwa, uwatangazie watu ujumbe ninaokupa.